
Bishop Sedekia
Holy Spirit International Church (HSIC) -Dar Es Salaam
Utakaso unafanyika kwenye mwili na roho
2 WAKORINTHO 7:8Kwa sababu, ijapokuwa naliwahuzunisha kwa waraka ule, sijuti; hata ikiwa nalijuta, naona ya kwamba waraka ule uliwahuzunisha, ingawa ni kwa kitambo tu. 9Sasa nafurahi, si kwa sababu ya ninyi kuhuzunishwa, bali kwa sababu mlihuzunishwa, hata mkatubu. Maana mlihuzunishwa kwa jinsi ya Mungu, ili msipate hasara kwa tendo letu katika neno lo lote.
Kwa mujibu wa Biblia, Utakaso unafanyika kwenye mwili na roho
Na kama mwili unatakaswa na nguo pia hutakaswa.
Wengi husema, Mungu anaangalia moyo tu. Lakini ukweli ni kwamba, Mungu huangalia moyo safi na mwili safi.
Kutokana na kitabu cha 2Wakorintho 7
2Korn 7:1
Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu.
Mungu anaangalia utakaso
Utakaso wa roho
Mawazo yatokayo ktk roho ya mwanadamu. Enendeni kwa roho
Utakaso wa mwili
Utakaso wa mavazi
Utakaso wa vitu
Utakaso wa mawazo
Paulo anasema; SIJUTII WARAKA ULE
2KOR 7:8-9
8Kwa sababu, ijapokuwa naliwahuzunisha kwa waraka ule, sijuti; hata ikiwa nalijuta, naona ya kwamba waraka ule uliwahuzunisha, ingawa ni kwa kitambo tu. 9Sasa nafurahi, si kwa sababu ya ninyi kuhuzunishwa, bali kwa sababu mlihuzunishwa, hata mkatubu. Maana mlihuzunishwa kwa jinsi ya Mungu, ili msipate hasara kwa tendo letu katika neno lo lote.

Deixe uma resposta